| |||||||||||||
| |||||||||||||
|
AINA ZA HATARI / MFIDUO | MADHARA YA PAPO HAPO / DALILI | KINGA | HUDUMA YA KWANZA / UZIMAJI MOTO |
MOTO |
Haiwaki isipokuwa ikiwa poda: vumbi huwaka.
|
|
|
MLIPUKO |
|
|
|
MFIDUO |
|
ZUIA MTAWANYIKO WA VUMBI!
|
|
Kuvuta pumzi |
|
Kinga kiambo ya utoaji moshi au kupumua.
|
Hewa safi, mapumziko.
|
Ngozi |
|
Glavu za kinga.
|
Suuza ngozi kwa maji mengi au oga.
|
Macho |
|
Miwani ya usalama, au kinga ya macho pamoja na kinga ya kupumulia iwapo poda.
|
Kwanza safisha macho vizuri kwa dakika chache (ondoa lenzi mboni kama inawezekana kuziondoa kwa urahisi), kisha mpeleke kwa daktari.
|
Kumeza |
|
Usile, usinywe wala kuvuta sigara ukiwa kazini.
|
|
KUSAFISHA MWAGIKO | UFUNGASHAJI / UWEKAJI LEBO | |||||||
Zoa dutu iliyomwagiga katika vyombo; endapo inafaa, loanisha kwanza ili kuzuia vumbi. Kusanya salio kwa uangalifu, kisha peleka mahala pa usalama. Usiruhusu kemikali hii iingie katika mazingira.
|
Ainisho ya EU Ainisho ya UN | |||||||
HATUA ZA HARAKA | UHIFADHI | |||||||
|
Kinachotenganishwa na amonia, mimumunyo mikali ya peroksidi hidrojeni, asidi kali.
| |||||||
|
|
DATA MUHIMU | |||
HALI MAUMBILE; INAVYOONEKANA: METALI NYEUPE, HUGEUKA GIZA INAPOFIDULIWA NA OZONI, SULFIDI HIDROJENI AU SULFURI. HATARI ZA KIKEMIKALI: Misombo isiyohimili mshtuko hutengenezwa kwa asetilini. Humenyuka pamoja na asidi kusababisha athari ya moto. Mgusano na mmumunyo wa peroksidi hidrojeni kali yaweza kutengana kwa nguvu kutoa gesi ya oksijeni. Mgusano na amonia waweza kutoa misombo lipukaji ikiwa mikavu. VIKOMO VYA MFIDUO WA KAZI (OELS): TLV (metali): 0.1 mg/m3 (ACGIH 1997) MAK: 0.1 mg/m3 (1996) |
NJIA ZA MFIDUO: Dutu hii huweza kufyonzwa ndani ya mwili kwa kuvuta pumzi na kwa kumeza. HATARI ZA KUVUTA PUMZI: Uvukizi ifikapo 20°C ni kidogo; hata hivyo, ukolezi unaodhuru wa chembechembe zinazopeperuka hewani unaweza kufikiwa haraka inapotawanywa. ATHARI ZA MFIDUO WA MUDA MFUPI: Kuvuta pumzi ya mvuke wa silva wa viwango vya juu kunaweza kusababisha uharibifu wa mapafu na uvimbe wa mapafu. ATHARI ZA MFIDUO WA MUDA MREFU AU UNAORUDIWA: Dutu hii huweza kutoweka kwa rangi kijivu-bluu kwenye macho, pua, koo na ngozi (argyria/argyrosis). | ||
TABIA ZA KIMAUMBILE | |||
Kiwango mchemko: 2212°C Kiwango myeyuko: 962°C Uzito wiani (maji = 1): 10.5 Umumunyifu katika maji: hakuna |
|||
DATA YA MAZINGIRA | |||
Dutu hii inaweza kuwa na madhara kwa mazingira; tahadhari maalumu itolewe kwa viumbe hai vya majini.
| |||
VIDOKEZO | |||
| |||
MAELEZO YA ZIADA | |||
| |||
| |||
© IPCS, CEC 2005 |